... Klabu ya Vipers SC ya Uganda imetuma ofa ya Tsh Milioni 230 wakitaka kumnunua mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele Kwa mujibu wa Mwanaspoti, klabu hiyo imewasiliana na Yanga lakini Yanga bado hawajawajibu kuhusu dau hilo. Mwanaspoti 230 Wao Bobosi walikataa na lobi walikata vipi apewe mayele au kibwana shomari kwa hela hiyo 4 viewsADMIN, 14:59