Sisi kama Yanga tuna ratiba ni ngumu sana tuna mechi mfululizo | OFFICIAL YANGA FORUM 🇹🇿
Sisi kama Yanga tuna ratiba ni ngumu sana tuna mechi mfululizo ambazo zinaweza kutuasiri kwa namna moja au nyingine hivyo tumetuma maombi kwa viongozi wa lig wajalibu kuturekebishia hii ratiba yetu
Eng. Hers Said raisi ya Yanga
Je unakubaliana na hili?
Follow na subscribe ukurasa wetu bonyeza hapa kupata habari zote KKachero TVTKachero TV